DKT. NCHIMBI AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA WILAYANI MBINGA

ccmkwanza
0 Min Read

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na wananchi wa Mbinga mjini, alipokuwa njiani kuelekea Wilaya ya Nyasa, ikiwa ni siku ya nne ya ziara yake ya siku tano, katika Mkoa wa Ruvuma, leo Jumamosi tarehe 5 Aprili 2025.\

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *