YALIYOJIRI ZIARA YA DKT NCHIMBI; ASISITIZA SUALA LA MBOLEA, MSHIKAMANO
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Nchimbiakihutubia wananchi katika ziara yake ya kikazi mkoani Rukwa, amesisitiza serikali kusambaza mbolea kwa wakati na kutafuta masoko ya mazao ya…
SHANGWE ZATAWALA MAPOKEZI YA MWANRY MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, akiwa ameambatana na wajumbe wengine wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, amepokelewa Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma,…
RAIS SAMIA AANZA ZIARA NCHINI ANGOLA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Mhe. Tete Antonio baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege…
DKT SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar ,tarehe 29…
RAIS SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUMU WA RAIS WA CHINA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Salaam Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe Xi Jinping Rais wa Jamhuri…
DKT. MIGIRO AONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI KISIWANDUI, ZANZIBAR
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiongoza Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar, leo…
DKT. MDAKU AWATAKA VIONGOZI CCM KUDUMISHA UMOJA NA MSHIKAMANO
Mbunge wa Jimbo la Malinyi, Mhe. Dkt. Mecktridis Mdaku, amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Sofi kuendelea kuimarisha chama kwa kuongeza wanachama wapya, kudumisha umoja…
NMB YASHINDA HATI FUNGANI YA SH. BIL. 262.5 SOKO LA HISA LONDON
Tanzania imepiga hatua nyingine kimataifa baada ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa kwa Shilingi ya Tanzania katika Soko la Hisa la London…
WAZIRI SANGU AHAMASISHA WAJASIRIAMALI KUJISAJILI KUSHIRIKI MAONESHO NCHINI RWANDA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus C. Sangu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, leo Julai 23, 2026,kuhusu Tanzania…