July 3, 2026
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Afrika ulioandaliwa na African Leadership Magazine kwa kushirikiana na…
RAIS WA NAMIBIA AZURU MAKABURI YA WAPIGANIA UKOMBOZI KONGWA
Rais wa Namibia,Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah Nandi akiweka mashada ya maua kwenye makaburi ya wapigania ukombozi wa nchi hiyo alipozuru makaburi hayo wilayani Kongwa wakati wa ziara yake nchini, Juni 21,…
TUNATAKA WAKANDARASI WAREJEE HARAKA KUJENGA BARABARA YA ITONI – LUSITU – MWANYIKA
Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amezidi kuibana serikali kuhusu maendeleo ya ujenzi unaosuasua wa barabara ya Itoni- Lusitu mkoani Njombe. Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu…
NMB YAPELEKA ELIMU YA FEDHA KWA MAELFU YA VIJANA
Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha, ikisema ujumuishaji wa kifedha unahitaji vijana kuelewa kuweka akiba, kupanga matumizi,…
USHIRIKIANO WA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI NI UFUNGUO WA AJIRA KWA VIJANA-WANU
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na taasisi za elimu katika kuwaandaa vijana kwa soko la…
RAIS SAMIA ATUA NCHINI KUTOKA ZIARA NCHINI URUSI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha…