July 3, 2026

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameshiriki katika Mkutano Mkuu wa Afrika ulioandaliwa na African Leadership Magazine kwa kushirikiana na…

ccmkwanza ccmkwanza

RAIS WA NAMIBIA AZURU MAKABURI YA WAPIGANIA UKOMBOZI KONGWA

Rais wa Namibia,Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah Nandi akiweka mashada ya maua kwenye makaburi ya wapigania ukombozi wa nchi hiyo alipozuru makaburi hayo wilayani Kongwa wakati wa ziara yake nchini, Juni 21,…

ccmkwanza ccmkwanza

TUNATAKA WAKANDARASI WAREJEE HARAKA KUJENGA BARABARA YA ITONI – LUSITU – MWANYIKA

Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amezidi kuibana serikali kuhusu maendeleo ya ujenzi unaosuasua wa barabara ya Itoni- Lusitu mkoani Njombe. Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu…

ccmkwanza ccmkwanza

NMB YAPELEKA ELIMU YA FEDHA KWA MAELFU YA VIJANA

Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha, ikisema ujumuishaji wa kifedha unahitaji vijana kuelewa kuweka akiba, kupanga matumizi,…

ccmkwanza ccmkwanza

USHIRIKIANO WA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI NI UFUNGUO WA AJIRA KWA VIJANA-WANU

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na taasisi za elimu katika kuwaandaa vijana kwa soko la…

ccmkwanza ccmkwanza

RAIS SAMIA ATUA NCHINI KUTOKA ZIARA NCHINI URUSI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha…

ccmkwanza ccmkwanza