RAIS SAMIA AHUTUBIA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UCHUMI LA St. Petersburg (SPIEF’26)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia viongozi kutoka nchi mbalimbali katika Kongamano la Kimataifa la Uchumi la St. Petersburg (SPIEF’26) linalofanyika kwenye ukumbi wa…
CHATANDA: MAGEUZI MAKUBWA YA KIMAENDELEO, SIRI YA RAIS SAMIA KUTUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA URUSI
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC), Mary Chatanda amesema mageuzi makubwa ya kimaendeleo yaliyofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan…
DK. MIGIRO, AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA KUHUSU DIRA 2050
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Asha-Rose Migiro, leo Ijumaa Juni 5,2026 amefanya mazungumzo na Mheshimiwa Marianne Young, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, katika Makao Makuu ya CCM,…
LETENI HARAKA FEDHA ZA KUKAMILISHA UJENZI WA VITUO VYA AFYA KILINDI – MHANDO
Mbunge wa Jimbo la Kilindi, Saleh Mhando bungeni Dodoma Juni 4, 2026, kwamba lini Serikali itapeleka fedha za Awamu ya Pili kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Vituo vya Afya…
SERIKALI IMEJIPANGAJE WANAWAKE, VIJANA KUSHIRIKI KWENYE UCHUMI JUMUISHI? – DKT. MAJULE
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wa mkoa huo, Dkt. Neema Majule ameihoji Serikali bungeni Dodoma Juni 4,…
MWANDABILA ACHANGIA MAKUBWA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwa mwaka wa Fedha…
BAJETI WIZARA MAENDELEO YA JAMII IMEJAA MAMBO MAZURI
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Doroth Gwajima akiwasilisha hotuba ya makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma…