60,000 WAITWA JKT KUPATIWA MAFUNZO YA UZALENDO, UTAYARI WA KULIJENGA, KULITUMIKIA TAIFA

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele amewataka wahitimu wa kidato cha sita Tanzania Bara na Visiwani waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria…

ccmkwanza ccmkwanza

NMB Foundation, TACAIDS Waunganisha Afya na Uchumi Kupambana na Maambukizi ya VVU

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dkt. Adam Mrisho kulia, akibadilishana hati ya makubaliano na Meneja Mkuu wa NMB Foundation, Nelson Karumuna, mara baada ya kusaini makubaliano…

ccmkwanza ccmkwanza

MATUKIO YA MBUNGE WA MBEYA MJINI MWALUNENGE BUNGENI

 Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge (kulia) akijadiliana jambo na wabunge wenzie katika Mkutano wa 3 Kikao cha 37 cha Bunge la 13, bungeni Dodoma Mei 26, 2026. IMEANDALIWA NA…

ccmkwanza ccmkwanza

SOMENI KWA BIDII MJE KUWA MAWAZIRI WA BAADAYE – WANU

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir akitoa neno la kuwatia moyo wanafunzi wa Shule ya St. Dominic Savio ya Iringa waliotembelea Bunge Mei 26, 2026. Awali…

ccmkwanza ccmkwanza

UWT MKOA WA PWANI YAWAPIGA MSASA MADIWANI WA VITI MAALUMU KUWAJENGEA UWEZO

Na Victor Masangu,Pwani  Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT) Mkoa wa Pwani imeamua   kuwajengea uwezo na maharifa madiwani wote  wa viti maalumu kwa kuwapatia semina elezeki ambayo itawasaidia katika kutekeleza…

ccmkwanza ccmkwanza

RC PWANI AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUVALIA NJUGA KERO NA CHANGAMOTO ZA WANANCHI

Na Victor Masangu,Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani Alhaj Abubakar kunenge amewataka watendaji wa Kata  kuhakikisha wachapa kazi kwa weledi na bidii ikiwemo kushughulikia changamoto mbali mbali zinazowakabiliwa  wananchi ikiwemo …

ccmkwanza ccmkwanza

LUFUNGIJA ATAKA JESHI LA SUNGUSUNGU LIUNDIWE SHERIA MAALUMU

Mbunge wa Ulyanhulu, mkoani Tabora, Rafael Masanja Lufungija akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma…

ccmkwanza ccmkwanza

MWALUNENGE AITAKA SERIKALI KUWAWEZESHA WAENDESHA BODABODA 300 MRADI WA ASALI MSITU KAWETELE MBEYA

Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge amewatetea na kuwapambania bungeni waendesha bodaboda 120 ambao pikipiki zao zimekamatwa na Askari wa Wakala wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (TFS) kwa tuhuma za…

ccmkwanza ccmkwanza

MALALAMIKO 45 YA WALAJI WADOGO YAPATIWA UFUMBUZI NA FCC

Wizara Viwanda na Biashara kupitia FCC imeendelea na juhudi za kupambana na bidhaa bandia na  kumlinda mlaji dhidi ya mienendo potofu, hadaifu na kandamizi katika soko la bidhaa na huduma. …

ccmkwanza ccmkwanza