60,000 WAITWA JKT KUPATIWA MAFUNZO YA UZALENDO, UTAYARI WA KULIJENGA, KULITUMIKIA TAIFA
MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele amewataka wahitimu wa kidato cha sita Tanzania Bara na Visiwani waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria…
NMB Foundation, TACAIDS Waunganisha Afya na Uchumi Kupambana na Maambukizi ya VVU
Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dkt. Adam Mrisho kulia, akibadilishana hati ya makubaliano na Meneja Mkuu wa NMB Foundation, Nelson Karumuna, mara baada ya kusaini makubaliano…
MATUKIO YA MBUNGE WA MBEYA MJINI MWALUNENGE BUNGENI
Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge (kulia) akijadiliana jambo na wabunge wenzie katika Mkutano wa 3 Kikao cha 37 cha Bunge la 13, bungeni Dodoma Mei 26, 2026. IMEANDALIWA NA…
SOMENI KWA BIDII MJE KUWA MAWAZIRI WA BAADAYE – WANU
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir akitoa neno la kuwatia moyo wanafunzi wa Shule ya St. Dominic Savio ya Iringa waliotembelea Bunge Mei 26, 2026. Awali…
UWT MKOA WA PWANI YAWAPIGA MSASA MADIWANI WA VITI MAALUMU KUWAJENGEA UWEZO
Na Victor Masangu,Pwani Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT) Mkoa wa Pwani imeamua kuwajengea uwezo na maharifa madiwani wote wa viti maalumu kwa kuwapatia semina elezeki ambayo itawasaidia katika kutekeleza…
RC PWANI AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUVALIA NJUGA KERO NA CHANGAMOTO ZA WANANCHI
Na Victor Masangu,Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani Alhaj Abubakar kunenge amewataka watendaji wa Kata kuhakikisha wachapa kazi kwa weledi na bidii ikiwemo kushughulikia changamoto mbali mbali zinazowakabiliwa wananchi ikiwemo …
LUFUNGIJA ATAKA JESHI LA SUNGUSUNGU LIUNDIWE SHERIA MAALUMU
Mbunge wa Ulyanhulu, mkoani Tabora, Rafael Masanja Lufungija akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma…
MWALUNENGE AITAKA SERIKALI KUWAWEZESHA WAENDESHA BODABODA 300 MRADI WA ASALI MSITU KAWETELE MBEYA
Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge amewatetea na kuwapambania bungeni waendesha bodaboda 120 ambao pikipiki zao zimekamatwa na Askari wa Wakala wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (TFS) kwa tuhuma za…
MALALAMIKO 45 YA WALAJI WADOGO YAPATIWA UFUMBUZI NA FCC
Wizara Viwanda na Biashara kupitia FCC imeendelea na juhudi za kupambana na bidhaa bandia na kumlinda mlaji dhidi ya mienendo potofu, hadaifu na kandamizi katika soko la bidhaa na huduma. …