MWANYIKA ANG’AKA BUNGENI KUKWAMA KWA MIRADI YA MAJI KIFANYA, IGONGWI NJOMBE

Serikali kupitia Wizara ya Maji imemuahidi Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika kupeleka sh. mil. 200 za kukamilisha ujeni wa mradi wa Maji wa Igongwi jimboni humo. Pamoja na Mambo…

ccmkwanza ccmkwanza

MWANDABILA ASHANGAA KIPENGELE CHA CHAKULA, LISHE KUKIPELEKA TBS

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa Fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 11, 2026.

ccmkwanza ccmkwanza

BAJETI WIZARA YA AFYA YAFIKIA SH. TRIL. 1.8

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 11, 2026. Jumla ya fedha zote zinazoombwa…

ccmkwanza ccmkwanza

MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA

Wabunge wakiwa viwanja vya Bunge wakiwahi kuingia bungeni Dodoma Mei 11, 2026, kuhudhuria Mkutano wa Bajeti ambapo leo imekuwa Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa Fedha wa 2026/2027.…

ccmkwanza ccmkwanza

MWANDABILA ATAKA MAKANDARASI WA MAJI SONGWE WALIPWE MIRADI IENDELEE

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila ameiomba Wizara ya Maji kupeleka la RUASA wilayani Ileje kwa lengo la kusaidia kuboresha sekta ya maji wilayani humo. Aidha, Mwandabila…

ccmkwanza ccmkwanza

May 10, 2026

ccmkwanza ccmkwanza

RAIS SAMIA ANAENDELEA KUPELEKA KUPELEKA FURAHA NA NEEMA KWA WATUMISHI WA UMMA TANZANIA.-KIKWETE

Nimezungumza na maafisa tawala na RasilimaliWatu , katika mkutano uliofanyika Ukumbi wa AICC, Arusha na kuwakumbusha kutekeleza wajibu wao na kuleta furaha kwa watumishi wa umma ili kwa upande mwengine…

ccmkwanza ccmkwanza

NAIBU WAZIRI WANU ATETA NA WANAFUNZI BUNGENI

Naibu Waziri wa Elimu na Teknolojia ya Habari, Wanu Hafidh Ameir akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Chemchem ya Jijijini Dodoma iliyotembelea Bunge jijini Dodoma Mei 6, 2026, kwa lengo…

ccmkwanza ccmkwanza

SHULE 90 ULYANHULU WANAFUNZI WAENDA SHULE NA VIDUMU VYA MAJI; WAZIRI AWESO NDIYO MWAROBAINI WAOKOE – LUFUNGIJA

Mbunge wa Jimbo la Ulyankulu, Japhael Lufungija ameshangaa Jimbo hilo kutokuwa na Mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria na kuomba wapelekewe kwa lengo la kuwatatulia kero ya maji wananchi. Pamoja…

ccmkwanza ccmkwanza

NI NEEMA TUPU BAJETI YA WIZARA YA MAJI

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akisoma hutuba ya Bajeti ys wizara hito kwa mwaka wa Fedha wa 2026/ 2027 bungeni Dodoma Mei 5, 2026. Zaidi ya Sh. Tril. 1.1 zimeombwa…

ccmkwanza ccmkwanza