UKUMBI WARINDIMA RAIS RUTO AKILIHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA

 Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto akihutubia Bunge la Tanzania Dodoma Mei 5, 2026 na kuufanya ukumbi kurindima kwa shangwe.

ccmkwanza ccmkwanza

PROF. MUHONGO ATAHADHARISHA MATUMIZI YA ZIWA VICTORIA, NYASA GRIDI YA MAJI YA TAIFA

Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo ameitahadharisha Wizara ya Maji kuwa makini kutumia maji ya maziwa hayo kuwa chanzo pekee yatakayotumika kwenye Gridi ya Taifa ya Maji kwani hata…

ccmkwanza ccmkwanza

JISOMEE MAGAZETI LEO JUMAMOSI MEI 2, 2026

JISOMEE MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MEI 2, 2026

ccmkwanza ccmkwanza

BENKI YA NMB YAPOKEA TUZO KUFANIKISHA MAADHIMISHO SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MKOANI NJOMBE

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ni fursa ya kutambua mchango wa wafanyakazi katika maendeleo ya taifa. Kama Mwajiri Kinara nchini, tumedhamini na kushiriki maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika kitaifa…

ccmkwanza ccmkwanza

NI KITIMU TIMU KWA WANAOWANIA UJUMBE BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Katibu wa Bunge, Baraka Leonard ametangaza majina ya matatu ya watanzania walioteuliwa kugombea ujumbe wa Bunge la Afrika Mashariki katika uchaguzi utaofanyika Jumatatu Mei 4, 2026 bungeni Dodoma. Majina hayo…

ccmkwanza ccmkwanza

COPRA IWE JICHO LA KUSIMAMIA MAZAO HADI NGAZI YA VIJIJINI – MWALUNENGE

Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ruzuku katika mbolea na baadhi ya pembejeo, lakini pia ameshauri COPRA kuongezewa nguvu ya…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. MAJULE ATAKA WANANCHI VIJIJINI KULIPWA VIZURI BIASHARA YA HEWA YA UKAA

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, Neema Majule ameihoji serikali bungeni kwamba ina mkakati gani wa kuwezesha wananchi kulipwa malipo sahihi ya uuzwaji wa hewa ya ukaa? na hatimaye…

ccmkwanza ccmkwanza

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE, HOSPITALI NJOMBE

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, ameziomba taasisi za kifedha kusaidia upatikanaji wa mashine za kusafisha damu — dialysis — katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe ili…

ccmkwanza ccmkwanza

MZINDAKAYA ATAKA RUKWA IANGALIWE KWA JICHO LA KIPEKEE KUBORESHA SEKTA YA KILIMO

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Jackline Mzindakya akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha wa 2026/ 2027 bungeni Dodoma Aprili 28,…

ccmkwanza ccmkwanza

NI NEEMA TUPU BAJETI WIZARA YA MADINI

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akiwasilisha bungeni Dodoma Aprili 27, 2026, Makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2026/ 2027.

ccmkwanza ccmkwanza