SERIKALI YAKUBALI OMBI LA MWANYIKA KUJENGA VITUO VYA KUPOOZA UMEME NJOMBE

Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameitaka Serikali kupeleka vituo vya kupoozea umeme katika maeneo ya uwekezaji Njombe Mjini. Ameyasema hayo awakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma…

ccmkwanza ccmkwanza

KAMATI YA BUNGE INAKUPONGEZA RAIS SAMIA KUNUNUA MELI YA UVUVI – MWANYIKA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo, Deodatus Mwanyika amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kununua meli kubwa…

ccmkwanza ccmkwanza

MACHIFU WABARIKI MWALUNENGE AKIZINDUA UCHIMBAJI VISIMA ITENDE, MBEYA MJINI

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge amefanya uzinduzi wa kuchimba visima ikiwa kisima kimoja kitaghalimu Sh. milioni 12 mpaka kukamilika kwake na vitachimbwa katika Jimbo la Mbeya Mjini…

ccmkwanza ccmkwanza

NMB YAKUSANYA MAPATO ZAIDI SH. TRIL. 9.8 KUPITIA MIFUMO YA KIJIDITALI

 Benki ya NMB imesema uwekezaji wake katika mifumo ya kidijitali ya ukusanyaji wa mapato umeisaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8 kupitia majukwaa yake tangu mwaka 2018.  Mafanikio hayo…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. MAJULE AITAKA RITA KUWAONEA HURUMA WAFIWA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Neema Peter Majule, ameishauri Serikali kuboresha utendaji wa Wakala wa usajili, UfilisiDKT na udhamini (RITA) ili kuondoa ucheleweshaji wa utoaji wa vyeti vya…

ccmkwanza ccmkwanza

WAZIRI HOMERA AWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera akiwasilisha bungeni Dodoma Aprili 24, 2026, hotuba ya makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2026/2027.

ccmkwanza ccmkwanza

MATUKIO YA WABUNGE BUNGENI DODOMA

Wabunge wakiwa viunga vya Bunge tayari kuingia bungeni Dodoma Aprili 22, 2026, kuhudhuria mkutano wa 3, kikao cha 14, Bunge la 13.  IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

ccmkwanza ccmkwanza

KASAKA AWAKA BUNGENI UCHELEWESHWAJI MRADI WA MAJI CHUNYA

Mbunge wa Lupa Chunya, Masache Kasaka ameihoji serikali bungeni kwamba lini ujenzi wa Mradi wa Maji Chunya uliosainiwa na kutengewa fedha utaanza lini? Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali…

ccmkwanza ccmkwanza

MWANYIKA AITAKA SERIKALI KUJENGA VIWANDA MAENEO YA VIJIJINI

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji imekubali ombi la Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika la kutenga mkoani Njombe maeneo ya kiuchumi ya kujenga viwanda vya kuongeza thamani…

ccmkwanza ccmkwanza

TUMIENI MVUA ZA MASIKA KUPANDA MITI-SINENE

Balozi wa Mazingira,Ahidi Sinene ametoa wito kwa wananchi kuzitumia mvua za masika zinazoendeleo kupanda miti kwa ajili ya kuhifadhi mazingira na kwani jambo hilo ni ibada kama ibada zingine na…

ccmkwanza ccmkwanza