NMB YAONGOZA BENKI ZA TANZANIA KUTOA MKOPO WA SH. BIL. 224 KWA MGODI WA GEITA
Benki ya NMB imewekeza takribani dola za Marekani milioni 100, sawa na Shilingi bilioni 224, katika mkopo wa pamoja wenye thamani ya dola milioni 500 kwa ajili ya Mgodi wa…
RAIS SAMIA ARUHUSU SH. TRIL. 6 UJENZI WA RELI YA SGR TABORA – KIGOMA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), akibainisha kuwa zaidi ya shilingi trilioni 6 zimetengwa kwa ajili ya mradi huo…
WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO MAZITO ATAYEKWAMISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU MALINYI
Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Hamis Ulega (Mb), amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya miradi ya kimkakati ya ujenzi katika Wilaya ya Malinyi, mkoani Morogoro, huku akisisitiza dhamira ya Serikali…
KITABU CHA FALSAFA YA SHERIA YA MAMA SAMIA KUBORESHA MAGEUZI YA KIUCHUMI NA KIJAMII
Serikali imesema, Sheria zinapaswa kutumika kama nyenzo ya maendeleo ya taifa kwakuwa ubora wa Sheria hupimwa kwa matokeo yake katika kuboresha maisha ya wananchi, kuvutia uwekezaji, kuimarisha utawala bora na…
MARIDHIANO YA KISIASA YAENDA VIZURI ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa Mhe. Othman Masoud Othman wakishuhudia utiaji saini wa…
WAZIRI SANGU AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WAMOWASALAT QATAR
Wajadili Fursa za Ajira kwa Madereva wa Kitanzania Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu…