MBUNGE MWANYIKA ALONGA NA MKURUGENZI MKUU WA NHC BUNGENI
Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika (kushoto) akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Hamad Abdallah kwenye viunga vya Bunge Mei 28, 2026. …
MILIKISHENI WANAWAKE ARDHI KUEPUSHA MIGOGORO YA MIRATHI – DKT. MAJULE
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wa mkoa huo, Neema Majule ameishauri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo…
BALOZI WA CHINA AWAMWAGIA CHEREHANI 120 WANAWAKE WA DODOMA, DKT. MAJULE ASHANGILIA
Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian amekabidhi msaada wa cherehani 120 kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa…
DKT. MAJULE AMFANYIA BALOZI WA CHINA MAPOKEZI YA HESHIMA DODOMA
Balozi wa China nchini Tanzania Chen Mingjian akilakiwa kwa bashasha na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa Mkoa huo, Dkt.…
MARUFUKU MATUMIZI YOYOTE YA BANGI NCHINI – WAZIRI KABUDI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge na watu wenye ulemavu), pRofesa Paramagamba Kabudi amesema kuwa kwa mujibu wa sheria za nchi kisheria hairuhusiwi matumizi ya aina…
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio akiwa na…
Wafanyabiashara Wapata Mbinu za Ukuaji Kupitia NMB Business Club
Benki ya NMB imeendelea kuimarisha huduma kwa wafanyabiashara kupitia NMB Business Club, jukwaa linalowapa wateja elimu ya fedha, teknolojia na fursa mbalimbali za kukuza biashara zao kwa uendelevu. Semina hiyo…