MBUNGE MWANYIKA ALONGA NA MKURUGENZI MKUU WA NHC BUNGENI

Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika (kushoto) akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Hamad Abdallah kwenye viunga vya Bunge Mei 28, 2026. …

ccmkwanza ccmkwanza

MILIKISHENI WANAWAKE ARDHI KUEPUSHA MIGOGORO YA MIRATHI – DKT. MAJULE

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wa mkoa huo, Neema Majule ameishauri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo…

ccmkwanza ccmkwanza

BALOZI WA CHINA AWAMWAGIA CHEREHANI 120 WANAWAKE WA DODOMA, DKT. MAJULE ASHANGILIA

Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian amekabidhi msaada wa cherehani 120 kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. MAJULE AMFANYIA BALOZI WA CHINA MAPOKEZI YA HESHIMA DODOMA

Balozi wa China nchini Tanzania Chen Mingjian akilakiwa kwa bashasha na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma  ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa Mkoa huo, Dkt.…

ccmkwanza ccmkwanza

MARUFUKU MATUMIZI YOYOTE YA BANGI NCHINI – WAZIRI KABUDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge na watu wenye ulemavu), pRofesa Paramagamba Kabudi amesema kuwa kwa mujibu wa sheria za nchi kisheria hairuhusiwi matumizi ya aina…

ccmkwanza ccmkwanza

MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE

RAIS  mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio akiwa na…

ccmkwanza ccmkwanza

Wafanyabiashara Wapata Mbinu za Ukuaji Kupitia NMB Business Club

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha huduma kwa wafanyabiashara kupitia NMB Business Club, jukwaa linalowapa wateja elimu ya fedha, teknolojia na fursa mbalimbali za kukuza biashara zao kwa uendelevu. Semina hiyo…

ccmkwanza ccmkwanza