RAIS SAMIA AWAONGOZA WANACHAMWINO KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

ccmkwanza
1 Min Read

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo tarehe 17 Mei, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki  zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo tarehe 17 Mei, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino mkoani Dodoma, kulia ni Mwendesha Kifaa cha Bayometriki Nicholaus Natay kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Rais Samia akipigwa picha kwa ajili ya kadi hiyo ya mpiga kura.

Baadhi ya wananchi wa Chamwino walioshiriki kuboresha taarifa zao.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *