Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Jackline Mzindakya akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha wa 2026/ 2027 bungeni Dodoma Aprili 28, 2026. Moja ya mambo aliyoiomba serikali ni kukamilisha skimu za umwagiliaji na kuongeza ruzuku katika viuatilifu vitakavyosaidia kuboresha sekta ya kilimo mkoani humo.