URAMBO WAAPA KUMPIGIA KURA DKT. SAMIA

ccmkwanza
0 Min Read

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora wakielezea jinsi wanafurahishwa na uongozi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt Samia Suluhu Hassan na kuahidi kumpigia kura Oktoba 29, 2025.

Wametoa ahadi hiyo wakati wa mkutano wa kampeni za CCM katika Uwanja wa Samora, Urambo Septemba 11, 2025.

Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *