KIHONGOSI AWEKA HADHARANI AHADI ZA RAIS SAMIA ZILIZOTEKELEZWA NDANI YA SIKU 100

ccmkwanza
0 Min Read

 Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaja ahadi lukuki zilizotekelezwa ndani ya siku 100 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa kampeni za urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 2025.

Kihongosi ametaja ahadi hizo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Januarai 17, 2026, kuhusu ziara ya kikazi inayotarajiwa kuanza kesho kutwa mkoani Singida.

https://www.blogger.com/video.g?token=AD6v5dywqaDRq4AQ5d9_wF3TKfZe1lpR1OlPvBcP4hBNNwhpYk7HmCblcwCBW0ndE-QEwqIyEZbV1EXrQ8DcaLkpsMkmdi7VIl4nBM3hVdz54ltyVezf2SUv7tcuhmEpvF2YIXBPqZzp
Share This Article
Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *