YALIYOJIRI ZIARA YA DKT NCHIMBI; ASISITIZA SUALA LA MBOLEA, MSHIKAMANO
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Nchimbiakihutubia wananchi katika ziara yake ya kikazi mkoani Rukwa, amesisitiza serikali kusambaza mbolea kwa wakati na kutafuta masoko ya mazao ya…
LEO NI LEO TANZANIA NA NIGERIA AFCON
Tanzania (Taifa Stars) inaanza kampeni yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) leo kwa mtihani mzito dhidi ya vigogo Nigeria, kabla ya kuwakabili Uganda siku nne baadaye na…
KATIBU MKUU CCM ATETA NA BALOZI WA JAMHURI YA WATU WA CHINA NCHINI TANZANIA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Jumatatu, Desemba 22, 2025, amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Chen…
HONGERA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUDHIBITI TISHIO LA MAANDAMANO HARAMU DESEMBA 9
SINA BUDI kuvipongeza vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa kazi kubwa yenye uweledi kwa kudhibiti kwa kiwango cha Juu hali ya usalama wa Nchi Desemba 9, 2025 na kuendelea. …
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo mkoani Lindi na kusema…
SERIKALI YAWASHUKURU WANANCHI KUONESHA UTULIVU NA UZALENDO KUILINDA NCHI
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amewashukuru Watanzania kwa kuonesha utulivu na uzalendo katika kuilinda amani ya taifa, hususan katika kipindi hiki ambacho Tanzania inaadhimisha miaka 64…
MAANDAMANO YA DESEMBA 9 YAPIGWA MARUFUKU
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limepiga marufuku maandamano yanayohamasishwa katika mitandao ya kijamii kwa kuyaita maandamano ya amani ya Disemba 09, 2025 kutokana na kutofuata taratibu kulingana na sheria ya…