MACHUMU AONGOZA MKUTANO WA MAWAZIRI, VIONGOZI KUELEZEA MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA ETHIOPIA, DUBAI
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bw. Bakari Machumu akizungumza na Waandishi wa Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Februari, 2026 kuhusu Ziara za Kikazi za Rais wa…
KIHONGOSI AWEKA HADHARANI AHADI ZA RAIS SAMIA ZILIZOTEKELEZWA NDANI YA SIKU 100
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaja ahadi lukuki zilizotekelezwa ndani ya siku 100 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa kampeni…
BALOZI MIGIRO AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt.Asha-Rose Migiro akiwa ameambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu John Mongella,leo Januari 17,2027 amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi…
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
Asisitiza mabalozi kupandisha bendera za chama kwenye maeneo yao. -Asema chama kinawajali na kuwathamini mabalozi. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amesema maendeleo ya kweli…
KIHONGOSI KUANZA ZIARA MKOA WA SINGIDA
Baada ya kumaliza kunadi ilani yetu ya uchaguzi ya CCM (2025/30) nchi nzima, Sasa kazi ni moja tuu kupita katika kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero na changamoto za…
LEO NI LEO TANZANIA NA NIGERIA AFCON
Tanzania (Taifa Stars) inaanza kampeni yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) leo kwa mtihani mzito dhidi ya vigogo Nigeria, kabla ya kuwakabili Uganda siku nne baadaye na…