BALOZI MIGIRO AKUTANA NA MKUU WA MISHENI YA SADC

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Mhe. Richard Msongwa, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Malawi na Mkuu wa Misheni ya Jumuiya ya…

ccmkwanza ccmkwanza

BALOZI MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU KUTOKA UKANDA WA MAZIWA MAKUU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Mhe. Domittien Ndayizeye, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Burundi na Mkuu wa Kamisheni ya Jukwaa la Mabunge ya…

ccmkwanza ccmkwanza

MAMBO MAZURI KAMPENI ZA DKT. SAMIA LEADERS CLUB DAR

Shamra Shamra, nderemo vikiwa  vimetawala kwenye Uwanja wa Leaders Club Kinondoni Dar es Salaam katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri y Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha…

ccmkwanza ccmkwanza

NI HEKA HEKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA SUMBAWANGA

‎Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 19 anaunguruma kwenye viwanja vya Kuzuite  Sumbawanga mkoani Rukwa. ‎…

ccmkwanza ccmkwanza

KAMPENI ZA DKT. SAMIA ZATUA KARAGWE

BASHASHA, NDEREMO vikiwa vimetawala Kayanga, wilayani Karagwe mkoani Kagera,katika mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) .Dkt. Samia Suluhu Hassan…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. SAMIA TUTAMLINDA, TUTAMPIGIA KURA, AMETUHESHIMISHA WACHIMBA MADINI

Na Richard Mwaikenda, Geita CHAMA cha Wachimba Madini Tanzania (FEMATA) chenye zaidi ya wanachama mil. 6 wameahidi kumpigia kura  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa…

ccmkwanza ccmkwanza

BALOZI NCHIMBI ATUA JIMBO LA KAKONKO, KIGOMA

 Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wake mdogo wa hadhara wa kampeni uliofanyika…

ccmkwanza ccmkwanza

BUKOMBE YATIA FORA KAMPENI ZA DKT. SAMIA

Umati mkubwa wa wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliojitokeza leo kwenye Viwanja vya Shule ya Igurwa, Wilayani Bukombe, Mkoani Geita leo Jumapili Oktoba 12, 2025 kumlaki na…

ccmkwanza ccmkwanza

MWANZA MAMBO YAMENYOOKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA

Wananchi wakiwa 'wamemwagika' katikaMkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza asubuhi hii Oktoba 8,…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. SAMIA AHIDIWA USHINDI USIO NA SHAKA MWANZA

Na Richard Mwaikenda, Buhongwa, MWANZA  Mkoa wa Mwanza wameahidi kumpatia ushindi wa kishindo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Samia Suluhu…

ccmkwanza ccmkwanza