BALOZI MIGIRO AKUTANA NA MKUU WA MISHENI YA SADC
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Mhe. Richard Msongwa, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Malawi na Mkuu wa Misheni ya Jumuiya ya…
BALOZI MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU KUTOKA UKANDA WA MAZIWA MAKUU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Mhe. Domittien Ndayizeye, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Burundi na Mkuu wa Kamisheni ya Jukwaa la Mabunge ya…
MAMBO MAZURI KAMPENI ZA DKT. SAMIA LEADERS CLUB DAR
Shamra Shamra, nderemo vikiwa vimetawala kwenye Uwanja wa Leaders Club Kinondoni Dar es Salaam katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri y Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha…
NI HEKA HEKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA SUMBAWANGA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 19 anaunguruma kwenye viwanja vya Kuzuite Sumbawanga mkoani Rukwa. …
KAMPENI ZA DKT. SAMIA ZATUA KARAGWE
BASHASHA, NDEREMO vikiwa vimetawala Kayanga, wilayani Karagwe mkoani Kagera,katika mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) .Dkt. Samia Suluhu Hassan…
DKT. SAMIA TUTAMLINDA, TUTAMPIGIA KURA, AMETUHESHIMISHA WACHIMBA MADINI
Na Richard Mwaikenda, Geita CHAMA cha Wachimba Madini Tanzania (FEMATA) chenye zaidi ya wanachama mil. 6 wameahidi kumpigia kura Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa…
BALOZI NCHIMBI ATUA JIMBO LA KAKONKO, KIGOMA
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wake mdogo wa hadhara wa kampeni uliofanyika…
BUKOMBE YATIA FORA KAMPENI ZA DKT. SAMIA
Umati mkubwa wa wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliojitokeza leo kwenye Viwanja vya Shule ya Igurwa, Wilayani Bukombe, Mkoani Geita leo Jumapili Oktoba 12, 2025 kumlaki na…
MWANZA MAMBO YAMENYOOKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA
Wananchi wakiwa 'wamemwagika' katikaMkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza asubuhi hii Oktoba 8,…
DKT. SAMIA AHIDIWA USHINDI USIO NA SHAKA MWANZA
Na Richard Mwaikenda, Buhongwa, MWANZA Mkoa wa Mwanza wameahidi kumpatia ushindi wa kishindo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Samia Suluhu…