DKT. SAMIA MBIONI KUNYANG’ANYA MASHAMBA, VIWANDA VYA CHAI VILIVYOTELEKEZWA RUNGWE
Wawekezaji waliotelekeza mashamba na viwanda vya zao la chai wilayani Rungwe watanyang'anywa na kuvirejesha kwa wananchi chini ya usimamizi wa Vyama vya Ushirika. Agizo hilo limetolewa na Mgombea Urais…
TUTAJENGA VITUO 50 VYA KUHIFADHIA PARACHICHI – DKT. SAMIA
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali iko mbioni kujenga vituo 50 vyenye mitambo ya ubaridi wa kuhifadhia…
NI MAFURIKO MKUTANO WA KAMPENI WA DKT. NCHIMBI KAHAMA
Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi wa Kahama mjini, jimbo la Kahama, leo Alhamis Septemba 4,2025,mkoani Shinyanga. Dkt Nchimbi akihutubia…
SERIKALI ITAGHARAMIA MATIBABU KWA WASIO NA UWEZO – DKT. SAMIA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Hospitali za Serikali kuzuia miili ya waliofariki dunia inayodaiwa. Dkt. Samia…
SHANGWE, NDEREMO ZATAWALA MKUTANO WA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MBALIZI
.Shamrashamra katika mkutano wa KAMPENI za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mji Mbalizi mkoani Mbeya Leo Septemba 4,2025. BAADA ya uzinduzi wa kampeni…
DKT. SAMIA AIHESHIMISHA MBEYA KWA MIRADI KEDEKEDE
BAADA ya uzinduzi wa kampeni kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dar es Salaam Agosti 28, 2025, hatimaye leo Septemba 4, 2025 Mgombea wa Kiti cha Rais wa Jamhuri…
CHONGOLO AAHIDI NYANDA ZA JUU KUSINI KUMPATIA DKT. SAMIA USHINDI WA AJABU
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Mkoa mstaafu wa Songwe, Daniel Chongolo amemuahidi Mgombea Urais wa Chama hicho, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba katika…
DKT. NCHIMBI TAYARI YUPO ITILIMA SIMIYU
Wakazi wa Kata ya Langabilili,wilaya ya Itilima mkoani Simiyu leo Jumanne Septemba 2,2025 wamejitokeza kwa wingi kumpokea na kumkaribisha kwa shangwe Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…
DKT. AUATAMIA MKOA MCHANGA WA SONGWE
Mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho, Dkt. Samia Suluhu Hassan yupo mguu sawa kesho…