KINDUMBWE NDUMBWE CHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA NI ZAMU YA SINGIDA

Muendelezo wa mchakamchaka wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA DKT. MWINYI

Leo, tarehe 8 Septemba 2025, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…

ccmkwanza ccmkwanza

TUTAMPIGIA KURA CHIFU MWENZETU DKT. SAMIA – MACHIFU

Baadhi ya machifu na wasaidizi wao wa Wilaya ya Mbeya Vijijini waliohojiwa katika mkutano wa kampeni za CCM katika Mji wa Mbalizi Septemba 4, 2025, wameomba amani ya nchi idumishwe…

ccmkwanza ccmkwanza

WAPIGA MAGOTI KUMUOMBEA KURA DKT. SAMIA

BAADHI ya viongozi na wagombea ubunge  katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamekuwa wakitumia utaratibu wa kupiga magoti mbele ya wananchi kumuombea kura Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. SAMIA AZIDI KUSHUSHA NEEMA KWA WAKULIMA, KUANZISHA VITUO VYA KUKODISHA MATREKTA KWA BEI POA

 MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanzisha vituo vya ukodishaji trekta nchini ‎ ‎Amesema trekta hizo na zana zingine za kilimo …

ccmkwanza ccmkwanza

ACHANENI NA WAHUNI WANAOPOTOSHA MAMBO MAZURI YANAYOFANYWA NA DKT. SAMIA-CHATANDA

Cheche za Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) alipokuwa akizundua Kampeni za CCM katika Jimbo la Mkuranga Mkoani Pwani, Kampeni …

ccmkwanza ccmkwanza

NMB YATAMBULIWA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA JKCI

Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imesema imeokoa zaidi ya Sh. bilioni 172 ambazo awali zilitumika kupeleka wagonjwa wa moyo nje ya nchi. Kauli hiyo…

ccmkwanza ccmkwanza

KUMEKUCHA KAMPENI ZA DKT. NCHIMBI GEITA

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi  akiwahutubia Wananchi wa kata ya Katoro , leo Jumamosi Septemba 6,2025 Wilaya ya Geita, Mkoani Geita…

ccmkwanza ccmkwanza

WANAWAKE WACHUUZI MAFINGA WAMKUBALI DKT. SAMIA

Baadhi ya wafanyabiashara wanawake wa Mafinga wilayani Mufindi wameahidi kumpigia kura Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,…

ccmkwanza ccmkwanza

SHANGWE ZALIPUKA DKT. SAMIA AKIWATANGAZIA NEEMA WAKULIMA WA CHAI, PARACHICHI NJOMBE

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia wananchi wa Njombe katika muendelezo…

ccmkwanza ccmkwanza