BALOZI NCHIMBI AFUNGUA MKUTANO MKUU MAALUMU WA TEF

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa mgeni rasmi, leo Ijumaa tarehe 4 Aprili, amefungua Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF),…

ccmkwanza ccmkwanza

ZIARA YA DKT. NCHIMBI YAANZA KURINDIMA RUVUMA

Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, mkoani Ruvuma imeanza kwa kishindo, huku mamia ya wanachama wa vyama vya upinzani wakihama na kujiunga…

ccmkwanza ccmkwanza

MONGELLA ATOA WITO WA AMANI KWA WANA~CCM UCHAGUZI MKUU 2025

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, amewataka wanachama wa chama hicho kudumisha amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza leo, Machi…

ccmkwanza ccmkwanza

RAIS SAMIA ASWALI SALA YA KITAIFA YA EID EL FITR KINONDONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti tofauti aliposali sala ya Eid El Fitr Kitaifa kwenye Msikiti wa Mfalme wa VI BAKWATA Makao Makuu…

ccmkwanza ccmkwanza

WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa…

ccmkwanza ccmkwanza

WASIRA AFAFANUA KUONGEZA DENI LA TAIFA, AMTETEA RAIS DK.SAMIA

Na Mwandishi Wetu, Maswa MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema nchi inakopa kwa ajili ya kufanya mambo tukayoishi nayo na faida zake zitakuwepo kwa miaka mingi…

ccmkwanza ccmkwanza

WASIRA AWAHAKIKISHIA WAKULIMA, CCM KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

MAKAMU Mwenyekiti wa Chana Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewahakikishia wananchi wilayani Kishapu, Mkoa wa Shinyanga Chama hicho kitaendelea kutatua changamoto zao ikiwemo ya kuhakikisha wanapata mazao mengi…

ccmkwanza ccmkwanza