DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA BARABARA YA NJIA NNE YA MWANZA-BUHONGWA, USAGARA

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻, ameahidi kuongeza bajeti ya ujenzi wa barabara zinazohudumiwa na…

ccmkwanza ccmkwanza

ZAIDI YA WATU MIL. 14WAJITOKEZA MIKUTANO YA KAMPENI YA DKT. SAMIA

Na Richard Mwaikenda, Dodoma ZAIDI ya watu milioni 14.62 wamejitokeza kwenye mikutano moja kwa moja, milioni 31.6 wamefuatilia kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii katika mikutano ya kampeni…

ccmkwanza ccmkwanza

MAMBO YAMEKUWA MAMBO KAMPENI ZA DKT. SAMIA BABATI, MANYARA

Mambo yamekuwa bambam, yamepamba moto katika mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Mjini Bababti,…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA SGR MPYA, BANDARI YA BAGAMOYO

Na Richard Mwaikenda, Pwani MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga Reli ya kisasa ya SGR itakayounganisha…

ccmkwanza ccmkwanza

JITOKEZENI KWA WINGI BILA HOFU SIKU YA KUPIGA KURA OKTOBA 29 – DKT. SAMIA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 ametoa wito kwa watanzania kushiriki kampeni za uchaguzi mkuu kupitia…

ccmkwanza ccmkwanza

KUMEKUCHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA PEMBA

Wananchi wakiwa wamefurika kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Uwanja wa Gombani…

ccmkwanza ccmkwanza

KAMPENI ZA DKT. SAMIA ZAHAMIA ZANZIBAR

 Baada ya uzinduzi wa kampeni kwenye viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dar es Salaam Agosti 28, 2025, leo Septemba 17, 2025 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

ccmkwanza ccmkwanza

NYOMI KAMPENI ZA DKT. SAMIA KIGOMA MJINI

Sehemu ya wananchi wakiwa katika mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM,Dkt Samia Suluhu Hassan  Kigoma Mjini, Septemba 14, 2025.…

ccmkwanza ccmkwanza

DKT. SAMIA AWASTUA WANA-KIGOMA KUCHANGAMKIA FURSA UJIO WA SGR

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kigoma kujipanga kuchangamkia fursa zitakazotokana na ujio…

ccmkwanza ccmkwanza

URAMBO WAAPA KUMPIGIA KURA DKT. SAMIA

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora wakielezea jinsi wanafurahishwa na uongozi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt Samia Suluhu Hassan na…

ccmkwanza ccmkwanza