RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025. Kikao hicho cha…

ccmkwanza ccmkwanza

CCM YATIA KIBINDONI SH. BIL. 2.7 KWA WAWANIA UBUNGE 5,475

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA. Amos Makalla, amebainisha kuwa hadi zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu ndani ya CCM linakamilika siku ya jana…

ccmkwanza ccmkwanza

BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA

*Awahakikishia viongozi wa dini, taasisi za kijamii na kimila *Awapongeza wanawake kusimamia amani Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga…

ccmkwanza ccmkwanza

RAIS SAMIA: MWELEKEO NI ELIMU YA UJUZI KWA VIJANA KUMUDU SOKO LA AJIRA

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya CCM anayoiongoza, imechukua hatua madhubuti katika kuweka mwelekeo…

ccmkwanza ccmkwanza

RAIS SAMIA ATETA NA BALOZI NCHIMBI, MCHENGERWA NA RC KIHONGOSI

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali, mara baada ya kuzindua…

ccmkwanza ccmkwanza

KUMEKUCHA MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM TAIFA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye Mkutano Maalum wa Chama hicho uliofanyika…

ccmkwanza ccmkwanza